Tuesday, October 15, 2013
Saturday, August 31, 2013
Thursday, August 1, 2013
Saturday, July 27, 2013
JK: ACHOSHWA NA WATU WANAOJIHUSISHA NA VITENDO VYA UJAMBAZI HUKU WAMILIKI WA SILAHA KINYUME NA SHERIA KUJISALIMISHA NDANI YA WIKI MBILI.
AMIRI Jeshi Mkuu, Rais Dk, Jakaya Kikwete, ametoa wiki mbili kwa watu
wanaojihusisha na vitendo vya ujambazi, wakiwamo wanaomiliki silaha
kinyume cha sheria na wahamiaji haramu kujisalimisha na silaha zao.
Alisema kwa kuwa amechoshwa na matukio yao, baada ya hapo kwa wale watakaoshindwa kutekeleza amri hiyo, msako mkali utakaofanyika ukiyahusisha majeshi yote utawan
CHAMA CHA DEMOKRASI NA MAENDELEO CHAENDELEA KUIVIMBIA JESHI LA POLISI.
IGP, Said Mwema.
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe.
Licha ya jeshi hilo kumhoji Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, na kumtaka awasilishe ushahidi huo, kiongozi huyo amekataa agizo hilo akisema kuwa wamekub
Friday, July 26, 2013
PILIKAPILIKA ZA UTAFUTAJI WA PESA MANISPAA YA MOROGORO.
Wednesday, July 24, 2013
UCHAKACHUAJI SIO MWENYE MAFUTA TU BALI HATA KATIKA MCHAKATO WA MAONI YA KATIBA MPYA LAKINI....WAZUA ISHU.

KATIBU MKUU WA CCM ABDULRAHMAN KINANA.
WARAKA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa wanachama wake
kushinikiza watetea matakwa ya chama hicho kwenye maoni yao katika
mchakato wa Katiba Mpya umezua balaa, baada ya Mjumbe wa Tume ya Katiba
kumzuia mmoja wa wajumbe wa Mabaraza ya Wilaya kutumia waraka huo kutoa
maoni yake.
Alhaj Siad Elmamri ambaye kitaalamu ni
mwanasheria, alimzuia Hussein Kiswil aliyekuwa akichangia mapendekezo
kwenye rasimu hiyo, baada ya kubaini kuwa, alichokuwa anazungumza
kilitokana na maelekezo ya CCM.
Hata hivyo hatua hiyo ilizua tafrani katika
mkutano huo, baada ya mjumbe huyo wa baraza la Katiba wilaya,
kutoridhika na msimamo huo wa mjumbe wa tume na kupend
RAGE AUZIKA RASMI UWANJA WA SIMBA SC A.K.A WEKUNDU WA MSIMBAZI.
MWENYEKITI wa Simba, Ismail Aden Rage ameifuta ndoto ya klabu hiyo kuwa na uwanja wake, baada ya kusema haiwezekani uongozi wake kujenga uwanja katika miaka miwili wakati Serikali imejenga Uwanja wa Taifa kwa miaka 50.
Rage alitoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki kwenye
mkutano mkuu wa klabu hiyo uliofanyika Bwalo la Maofisa wa Polisi
Oysterbay huku ukitawaliwa na vurugu zilizosababisha ajenda za muhimu za
mkutano kushindwa kujadiliwa kwa kina.
‘Serikali yangu ya Chama cha Mapinduzi CCM
imewachukua miaka 50 kujenga uwanja wa kisasa ule wa Taifa, sasa mimi
Rage na Kamati yangu tutaj
Monday, July 1, 2013
Saturday, June 15, 2013
Sunday, February 17, 2013
Subscribe to:
Comments (Atom)



















