Tuesday, October 15, 2013

BIBI TITI AFUNGWA JELA MAISHA.

KESI ya Bibi Titi na wenzake saba iliendeshwa kwa siku 127 mwaka 1970 na walihukumiwa kifungo cha maisha jela.

Wakati mmoja, Rais  Mwalimu Nyerere kwa kujiamini alisema: “Ni mtu kichaa pekee ambaye anaw